-
Mambo ya Walawi 14:21Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
21 “Hata hivyo, ikiwa yeye ni wa hali ya chini+ naye hana mapato ya kutosha,+ basi atachukua mwana-kondoo dume mmoja akiwa toleo la hatia kwa ajili ya toleo la kutikisa ili kufanya upatanisho kwa ajili yake na sehemu ya kumi ya efa ya unga laini uliotiwa mafuta ukiwa toleo la nafaka na logi ya mafuta,
-