Mambo ya Walawi 14:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 mmoja wa hao anaoweza kuwapata akiwa toleo la dhambi+ na yule mwingine akiwa toleo la kuteketezwa+ pamoja na toleo la nafaka; naye kuhani atafanya upatanisho+ kwa ajili ya yule anayejitakasa mbele za Yehova.
31 mmoja wa hao anaoweza kuwapata akiwa toleo la dhambi+ na yule mwingine akiwa toleo la kuteketezwa+ pamoja na toleo la nafaka; naye kuhani atafanya upatanisho+ kwa ajili ya yule anayejitakasa mbele za Yehova.