Mambo ya Walawi 15:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na yeyote atakayegusa mwili wa mtu mwenye mtiririko unaotoka+ atayafua mavazi yake, naye ataoga katika maji na kuwa asiye safi mpaka jioni.+
7 Na yeyote atakayegusa mwili wa mtu mwenye mtiririko unaotoka+ atayafua mavazi yake, naye ataoga katika maji na kuwa asiye safi mpaka jioni.+