Mambo ya Walawi 15:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Naye kuhani atawatoa, mmoja kuwa toleo la dhambi na yule mwingine kuwa toleo la kuteketezwa;+ naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake mbele za Yehova kuhusiana na mtiririko wake unaotoka.
15 Naye kuhani atawatoa, mmoja kuwa toleo la dhambi na yule mwingine kuwa toleo la kuteketezwa;+ naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake mbele za Yehova kuhusiana na mtiririko wake unaotoka.