Mambo ya Walawi 15:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na ikiwa mwanamume atalala naye na uchafu wake wa hedhi uwe juu yake,+ ndipo atakuwa asiye safi kwa siku saba, na kitanda chochote ambacho mwanamume huyo huenda akalalia kitakuwa si safi. Mambo ya Walawi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 15:24 Mnara wa Mlinzi,6/1/1989, uku. 14
24 Na ikiwa mwanamume atalala naye na uchafu wake wa hedhi uwe juu yake,+ ndipo atakuwa asiye safi kwa siku saba, na kitanda chochote ambacho mwanamume huyo huenda akalalia kitakuwa si safi.