Mambo ya Walawi 27:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Na ikiwa ni sehemu ya shamba lililo mali yake+ ambalo mtu anataka kulitakasa kwa Yehova, basi thamani itakadiriwa kulingana na mbegu yake: ikiwa ni homeri+ moja ya mbegu ya shayiri, basi kwa shekeli 50 za fedha.
16 “‘Na ikiwa ni sehemu ya shamba lililo mali yake+ ambalo mtu anataka kulitakasa kwa Yehova, basi thamani itakadiriwa kulingana na mbegu yake: ikiwa ni homeri+ moja ya mbegu ya shayiri, basi kwa shekeli 50 za fedha.