Hesabu 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nao lazima waungame+ dhambi yao ambayo wametenda, naye lazima alipie hatia yake kwa ukamili wake, pia aongeze sehemu yake ya tano juu yake,+ naye lazima ampe yule ambaye alimtendea kosa.
7 Nao lazima waungame+ dhambi yao ambayo wametenda, naye lazima alipie hatia yake kwa ukamili wake, pia aongeze sehemu yake ya tano juu yake,+ naye lazima ampe yule ambaye alimtendea kosa.