15 basi mwanamume huyo lazima amlete mke wake kwa kuhani+ na kuleta toleo lake pamoja naye, sehemu ya kumi ya efa ya unga wa shayiri. Hatamimina mafuta juu yake wala kuweka ubani+ juu yake, kwa sababu ni toleo la nafaka la wivu, toleo la ukumbusho linaloleta kosa kwenye kumbukumbu.