Hesabu 6:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “‘Siku zote za nadhiri ya Unadhiri wake wembe wowote usipite juu ya kichwa chake;+ mpaka siku ambazo ametengwa kwa ajili ya Yehova zitimie, atakuwa mtakatifu kwa kuacha mashungi+ ya nywele za kichwa chake yakue.
5 “‘Siku zote za nadhiri ya Unadhiri wake wembe wowote usipite juu ya kichwa chake;+ mpaka siku ambazo ametengwa kwa ajili ya Yehova zitimie, atakuwa mtakatifu kwa kuacha mashungi+ ya nywele za kichwa chake yakue.