-
Hesabu 7:5Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 “Kubali vitu hivyo kutoka kwao, kwa maana vitatumika kuendeleza utumishi wa hema la mkutano, nawe utawapa Walawi vitu hivyo, kila mmoja kulingana na utumishi wake mwenyewe.”
-