Hesabu 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Kisha Walawi wataweka mikono yao juu ya vichwa vya wale ng’ombe-dume.+ Baada ya jambo hilo, mtoe mmoja awe toleo la dhambi na yule mwingine awe toleo la kuteketezwa kwa Yehova ili kufanya upatanisho+ kwa ajili ya Walawi.
12 “Kisha Walawi wataweka mikono yao juu ya vichwa vya wale ng’ombe-dume.+ Baada ya jambo hilo, mtoe mmoja awe toleo la dhambi na yule mwingine awe toleo la kuteketezwa kwa Yehova ili kufanya upatanisho+ kwa ajili ya Walawi.