-
Hesabu 8:20Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
20 Naye Musa na Haruni na kusanyiko lote la wana wa Israeli wakawafanyia Walawi hivyo. Kulingana na yote ambayo Yehova alikuwa amemwamuru Musa kuhusu Walawi, hivyo ndivyo wana wa Israeli walivyowafanyia.
-