Hesabu 8:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mara tu baada ya jambo hilo Walawi wakaingia ndani ili kuendeleza utumishi wao katika hema la mkutano mbele ya Haruni na wanawe.+ Kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa kuhusu Walawi, ndivyo walivyowafanyia.
22 Mara tu baada ya jambo hilo Walawi wakaingia ndani ili kuendeleza utumishi wao katika hema la mkutano mbele ya Haruni na wanawe.+ Kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa kuhusu Walawi, ndivyo walivyowafanyia.