25 Naye kuhani atafanya upatanisho+ kwa ajili ya kusanyiko lote la wana wa Israeli, nao watasamehewa; kwa sababu lilikuwa kosa ambalo hawakukusudia,+ nao walileta mbele za Yehova toleo linalotolewa kwa njia ya moto kwa Yehova na toleo lao la dhambi kwa ajili ya kosa lao ambalo hawakukusudia.