Hesabu 17:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Sema na wana wa Israeli nawe uchukue kutoka kwao fimbo+ moja kwa ajili ya kila nyumba ya ukoo wa upande wa baba kutoka kwa wakuu+ wao wote, kulingana na nyumba ya baba yao, fimbo kumi na mbili. Utaandika jina la kila mmoja katika fimbo yake.
2 “Sema na wana wa Israeli nawe uchukue kutoka kwao fimbo+ moja kwa ajili ya kila nyumba ya ukoo wa upande wa baba kutoka kwa wakuu+ wao wote, kulingana na nyumba ya baba yao, fimbo kumi na mbili. Utaandika jina la kila mmoja katika fimbo yake.