Hesabu 18:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Nao Walawi wenyewe wataendeleza utumishi wa hema la mkutano, nao ndio wanaopaswa kujibu kwa kosa lao.+ Ni sheria mpaka wakati usio na kipimo katika vizazi vyenu vyote kwamba katikati ya wana wa Israeli hawapaswi kupata urithi.+
23 Nao Walawi wenyewe wataendeleza utumishi wa hema la mkutano, nao ndio wanaopaswa kujibu kwa kosa lao.+ Ni sheria mpaka wakati usio na kipimo katika vizazi vyenu vyote kwamba katikati ya wana wa Israeli hawapaswi kupata urithi.+