Hesabu 20:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo Musa na Haruni wakatoka mbele ya kutaniko wakaenda kwenye mwingilio wa hema la mkutano na kuanguka kifudifudi,+ nao utukufu wa Yehova ukaanza kuwatokea.+
6 Ndipo Musa na Haruni wakatoka mbele ya kutaniko wakaenda kwenye mwingilio wa hema la mkutano na kuanguka kifudifudi,+ nao utukufu wa Yehova ukaanza kuwatokea.+