17 Acha tupite, tafadhali, katika nchi yako. Hatutapita katika shamba wala katika shamba la mizabibu, wala hatutakunywa maji ya kisima. Katika njia ya mfalme tutapiga mwendo.+ Hatutageuka kuelekea kuume wala kuelekea kushoto,+ mpaka tutakapokuwa tumepita katikati ya eneo lako.’”