Hesabu 20:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nao wana wa Israeli wakamwambia: “Kwa njia kuu tutaenda; na ikiwa mimi na mifugo yangu tutakunywa maji yako, nitalipa thamani yake.+ Sitaki kitu chochote ila kupita kwa miguu yangu.”+
19 Nao wana wa Israeli wakamwambia: “Kwa njia kuu tutaenda; na ikiwa mimi na mifugo yangu tutakunywa maji yako, nitalipa thamani yake.+ Sitaki kitu chochote ila kupita kwa miguu yangu.”+