Hesabu 21:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Sasa yule Mkanaani, mfalme wa Aradi,+ aliyekaa Negebu,+ akapata kusikia kwamba Israeli alikuwa amekuja kupitia njia ya Atharimu, naye akaanza kupigana na Israeli na kuchukua baadhi yao kuwa mateka.
21 Sasa yule Mkanaani, mfalme wa Aradi,+ aliyekaa Negebu,+ akapata kusikia kwamba Israeli alikuwa amekuja kupitia njia ya Atharimu, naye akaanza kupigana na Israeli na kuchukua baadhi yao kuwa mateka.