Hesabu 22:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini Balaamu akajibu na kuwaambia watumishi wa Balaki: “Hata kama Balaki angenipa nyumba yake ikiwa imejaa fedha na dhahabu, singeweza kupita agizo la Yehova Mungu wangu, ili kufanya jambo dogo au kubwa.+
18 Lakini Balaamu akajibu na kuwaambia watumishi wa Balaki: “Hata kama Balaki angenipa nyumba yake ikiwa imejaa fedha na dhahabu, singeweza kupita agizo la Yehova Mungu wangu, ili kufanya jambo dogo au kubwa.+