Hesabu 22:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Balaki aliposikia kwamba Balaamu amekuja, mara moja akatoka ili kumpokea katika jiji la Moabu, lililo kwenye ukingo wa Arnoni, lililo mwishoni mwa eneo hilo.+
36 Balaki aliposikia kwamba Balaamu amekuja, mara moja akatoka ili kumpokea katika jiji la Moabu, lililo kwenye ukingo wa Arnoni, lililo mwishoni mwa eneo hilo.+