Hesabu 25:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Jina la mwanamume huyo Mwisraeli aliyepigwa na kuuawa pamoja na yule mwanamke Mmidiani lilikuwa Zimri mwana wa Salu, mkuu+ wa nyumba ya ukoo wa upande wa baba ya Wasimeoni.
14 Jina la mwanamume huyo Mwisraeli aliyepigwa na kuuawa pamoja na yule mwanamke Mmidiani lilikuwa Zimri mwana wa Salu, mkuu+ wa nyumba ya ukoo wa upande wa baba ya Wasimeoni.