Hesabu 27:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Baba yetu alikufa nyikani,+ wala hakuwa katikati ya lile kusanyiko, yaani, wale waliojipanga dhidi ya Yehova katika kusanyiko la Kora,+ bali alikufa kutokana na dhambi yake mwenyewe;+ naye hakuwa na wana wowote wa kiume.
3 “Baba yetu alikufa nyikani,+ wala hakuwa katikati ya lile kusanyiko, yaani, wale waliojipanga dhidi ya Yehova katika kusanyiko la Kora,+ bali alikufa kutokana na dhambi yake mwenyewe;+ naye hakuwa na wana wowote wa kiume.