8 Nawe utamtoa yule mwana-kondoo dume mwingine katikati ya zile jioni mbili. Pamoja na toleo lilelile la nafaka kama lile la asubuhi na pamoja na toleo lake lilelile la kinywaji utalitoa likiwa toleo linalotolewa kwa njia ya moto, toleo lenye harufu ya kumtuliza Yehova.+