Hesabu 28:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 na vipimo vitatu vya sehemu ya kumi ya unga laini ukiwa toleo la nafaka+ lililotiwa mafuta kwa ajili ya kila ng’ombe-dume na vipimo viwili vya sehemu ya kumi ya unga laini ukiwa toleo la nafaka lililotiwa mafuta kwa ajili ya kondoo-dume mmoja,+
12 na vipimo vitatu vya sehemu ya kumi ya unga laini ukiwa toleo la nafaka+ lililotiwa mafuta kwa ajili ya kila ng’ombe-dume na vipimo viwili vya sehemu ya kumi ya unga laini ukiwa toleo la nafaka lililotiwa mafuta kwa ajili ya kondoo-dume mmoja,+