Hesabu 31:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nao wakamletea Musa na Eleazari kuhani na kusanyiko la wana wa Israeli mateka na nyara na vitu vilivyoporwa, mpaka kambini, mpaka nchi tambarare za jangwa la Moabu,+ kando ya Yordani huko Yeriko.
12 Nao wakamletea Musa na Eleazari kuhani na kusanyiko la wana wa Israeli mateka na nyara na vitu vilivyoporwa, mpaka kambini, mpaka nchi tambarare za jangwa la Moabu,+ kando ya Yordani huko Yeriko.