Hesabu 31:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na Musa akaanza kuwa na ghadhabu kwa sababu ya wale wanaume waliowekwa rasmi wa majeshi ya vita,+ wakuu wa maelfu na wakuu wa mamia waliokuwa wakiingia kutoka katika safari hiyo ya kijeshi.
14 Na Musa akaanza kuwa na ghadhabu kwa sababu ya wale wanaume waliowekwa rasmi wa majeshi ya vita,+ wakuu wa maelfu na wakuu wa mamia waliokuwa wakiingia kutoka katika safari hiyo ya kijeshi.