Hesabu 33:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Halafu wakaondoka Ethamu, wakageuka na kurudi nyuma kuelekea Pihahirothi,+ ambapo panaelekeana na Baal-sefoni;+ nao wakapiga kambi mbele ya Migdoli.+
7 Halafu wakaondoka Ethamu, wakageuka na kurudi nyuma kuelekea Pihahirothi,+ ambapo panaelekeana na Baal-sefoni;+ nao wakapiga kambi mbele ya Migdoli.+