Hesabu 36:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hili ndilo neno ambalo Yehova ameamuru kwa ajili ya binti za Selofehadi,+ na kusema, ‘Kwa yeyote atakayekuwa mwema machoni pao wanaweza kuwa wake zake. Ila tu wanapaswa kuwa wake katika familia ya kabila la baba zao.+
6 Hili ndilo neno ambalo Yehova ameamuru kwa ajili ya binti za Selofehadi,+ na kusema, ‘Kwa yeyote atakayekuwa mwema machoni pao wanaweza kuwa wake zake. Ila tu wanapaswa kuwa wake katika familia ya kabila la baba zao.+