-
Hesabu 36:7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Na hakuna urithi wowote wa wana wa Israeli unaopaswa kuzunguka kutoka kabila moja mpaka kabila lingine, kwa sababu wana wa Israeli wanapaswa kushikamana kila mmoja wao na urithi wa kabila la mababu zake.
-