14 Lakini siku ya saba ni sabato kwa Yehova Mungu wako.+ Usifanye kazi yoyote,+ wewe wala mwana wako wala binti yako wala mtumishi wako wala kijakazi wako wala ng’ombe wako wala mkaaji mgeni wako aliye ndani ya malango yako,+ ili mtumishi wako na kijakazi wako wapate kupumzika kama wewe.+