Yoshua 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Tuliposikia hayo, ndipo mioyo yetu ikaanza kuyeyuka,+ wala roho yoyote haijaamka bado ndani ya mtu yeyote kwa sababu yenu,+ kwa kuwa Yehova Mungu wenu ni Mungu juu mbinguni na chini duniani.+ Yoshua Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 2:11 Ufahamu, Mnara wa Mlinzi,11/1/2013, kur. 14-15
11 Tuliposikia hayo, ndipo mioyo yetu ikaanza kuyeyuka,+ wala roho yoyote haijaamka bado ndani ya mtu yeyote kwa sababu yenu,+ kwa kuwa Yehova Mungu wenu ni Mungu juu mbinguni na chini duniani.+