18 Kisha ikawa kwamba makuhani waliolichukua sanduku+ la agano la Yehova walipopanda kutoka katikati ya Yordani nao makuhani wakainua miguu+ yao na kukanyaga kwenye nchi kavu, ndipo maji ya Yordani yakaanza kurudi mahali pake na kufanya kingo zake zote zifurike+ kama hapo mwanzoni.