-
Yoshua 6:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Basi ikawa kama vile Yoshua alivyowaambia watu; na makuhani saba waliochukua pembe saba za kondoo-dume mbele za Yehova wakapita na kuzipiga pembe hizo, nalo sanduku la agano la Yehova lilikuwa likiwafuata.
-