Yoshua 8:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Sasa Yehova akamwambia Yoshua: “Nyoosha mkuki ulio mkononi mwako kuelekea Ai,+ kwa maana nitalitia mkononi mwako.”+ Basi Yoshua akaunyoosha mkuki uliokuwa mkononi mwake kuelekea jiji lile. Yoshua Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 8:18 Ufahamu, uku. 169
18 Sasa Yehova akamwambia Yoshua: “Nyoosha mkuki ulio mkononi mwako kuelekea Ai,+ kwa maana nitalitia mkononi mwako.”+ Basi Yoshua akaunyoosha mkuki uliokuwa mkononi mwake kuelekea jiji lile.