Yoshua 10:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na ikawa kwamba mara tu Yoshua na wana wa Israeli walipomaliza kuwaua kwa mauaji makubwa sana, mpaka wakakomeshwa,+ na wale waliobaki kati yao wakakimbia na kuingia katika majiji yenye ngome,+
20 Na ikawa kwamba mara tu Yoshua na wana wa Israeli walipomaliza kuwaua kwa mauaji makubwa sana, mpaka wakakomeshwa,+ na wale waliobaki kati yao wakakimbia na kuingia katika majiji yenye ngome,+