Yoshua 19:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Urithi wa wana wa Simeoni ulitoka katika fungu la wana wa Yuda, kwa sababu fungu la wana wa Yuda lilikuwa kubwa mno kwao.+ Basi wana wa Simeoni wakapata miliki katikati ya urithi wao.+ Yoshua Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 19:9 Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,11/2021, uku. 2
9 Urithi wa wana wa Simeoni ulitoka katika fungu la wana wa Yuda, kwa sababu fungu la wana wa Yuda lilikuwa kubwa mno kwao.+ Basi wana wa Simeoni wakapata miliki katikati ya urithi wao.+