Yoshua 22:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na kuna mpaka ambao Yehova ameweka kati yetu na ninyi, wana wa Rubeni na wana wa Gadi, yaani, Yordani. Hamna fungu lolote katika Yehova.”+ Na wana wenu watawafanya wana wetu waache kumwogopa Yehova.’+
25 Na kuna mpaka ambao Yehova ameweka kati yetu na ninyi, wana wa Rubeni na wana wa Gadi, yaani, Yordani. Hamna fungu lolote katika Yehova.”+ Na wana wenu watawafanya wana wetu waache kumwogopa Yehova.’+