Yoshua 22:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Yehova ameweka Mto Yordani kuwa mpaka kati yetu na ninyi, watu wa kabila la Rubeni na Gadi. Hamna ushirika wowote na Yehova.” Na wana wenu watawazuia wana wetu kumwabudu* Yehova.’
25 Yehova ameweka Mto Yordani kuwa mpaka kati yetu na ninyi, watu wa kabila la Rubeni na Gadi. Hamna ushirika wowote na Yehova.” Na wana wenu watawazuia wana wetu kumwabudu* Yehova.’