Waamuzi 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wafalme walikuja, wakapiga vita;Ndipo wafalme wa Kanaani wakapiga vita+Katika Taanaki+ kando ya maji ya Megido.+Hawakuchukua faida yoyote ya fedha.+ Waamuzi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 5:19 Mnara wa Mlinzi,8/1/2015, uku. 14
19 Wafalme walikuja, wakapiga vita;Ndipo wafalme wa Kanaani wakapiga vita+Katika Taanaki+ kando ya maji ya Megido.+Hawakuchukua faida yoyote ya fedha.+