Waamuzi 7:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi akawashusha watu majini.+ Ndipo Yehova akamwambia Gideoni: “Kila mtu ambaye ataramba maji kwa ulimi wake kama vile mbwa anavyoramba, utamweka kando peke yake, pia kila mtu atakayepiga magoti yake anapokunywa.”+
5 Basi akawashusha watu majini.+ Ndipo Yehova akamwambia Gideoni: “Kila mtu ambaye ataramba maji kwa ulimi wake kama vile mbwa anavyoramba, utamweka kando peke yake, pia kila mtu atakayepiga magoti yake anapokunywa.”+