Waamuzi 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wakati Zeba na Zalmuna walipoanza kukimbia, akaanza kuwafuatilia mara moja, akawakamata hao wafalme wawili wa Midiani, Zeba na Zalmuna;+ naye akaitetemesha kambi nzima.
12 Wakati Zeba na Zalmuna walipoanza kukimbia, akaanza kuwafuatilia mara moja, akawakamata hao wafalme wawili wa Midiani, Zeba na Zalmuna;+ naye akaitetemesha kambi nzima.