Waamuzi 8:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Ndipo akamwambia Yetheri mzaliwa wake wa kwanza: “Simama, waue.” Lakini huyo kijana hakuchomoa upanga wake, kwa sababu aliogopa, kwa maana bado alikuwa kijana tu.+
20 Ndipo akamwambia Yetheri mzaliwa wake wa kwanza: “Simama, waue.” Lakini huyo kijana hakuchomoa upanga wake, kwa sababu aliogopa, kwa maana bado alikuwa kijana tu.+