Waamuzi 9:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini mtini ukaiambia, ‘Je, niache utamu wangu na mazao yangu mema, na je, niende kuwayawaya juu ya miti mingine?’+
11 Lakini mtini ukaiambia, ‘Je, niache utamu wangu na mazao yangu mema, na je, niende kuwayawaya juu ya miti mingine?’+