18 nanyi, kwa upande wenu, mmesimama juu ya nyumba ya baba yangu leo ili mpate kuwaua wanawe,+ watu 70,+ juu ya jiwe moja, na ili mpate kumfanya Abimeleki, mwana wa kijakazi wake,+ kuwa mfalme+ juu ya wenye mashamba wa Shekemu kwa sababu tu yeye ni ndugu yenu;