4 Basi bila kukawia Yeftha akakusanya watu wote wa Gileadi,+ akapigana na Efraimu; na watu wa Gileadi wakapiga Efraimu, kwa maana walikuwa wamesema: “Ninyi Gileadi ni watu walioponyoka kutoka Efraimu, kutoka ndani ya Efraimu, kutoka ndani ya Manase.”