Waamuzi 14:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ndipo Samsoni akawaambia: “Tafadhali, acheni niwategee kitendawili.+ Mkiniambia kwa hakika kitendawili hicho kwa muda wa siku saba+ za karamu hii, nanyi mkitegue, ndipo nitakapowapa mavazi 30 ya ndani na nguo 30.+
12 Ndipo Samsoni akawaambia: “Tafadhali, acheni niwategee kitendawili.+ Mkiniambia kwa hakika kitendawili hicho kwa muda wa siku saba+ za karamu hii, nanyi mkitegue, ndipo nitakapowapa mavazi 30 ya ndani na nguo 30.+