Waamuzi 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Ndipo moyo wa kuhani huyo ukafurahi,+ basi akachukua ile efodi na ile terafimu na ile sanamu ya kuchongwa,+ akaja katikati ya wale watu.
20 Ndipo moyo wa kuhani huyo ukafurahi,+ basi akachukua ile efodi na ile terafimu na ile sanamu ya kuchongwa,+ akaja katikati ya wale watu.