Waamuzi 19:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na ikawa kwamba katika siku ya nne, walipoamka asubuhi na mapema kama kawaida, akasimama ili kwenda, lakini baba ya yule mwanamke kijana akamwambia mwana-mkwe wake: “Lisha moyo wako kipande cha mkate,+ kisha baadaye mwende zenu.”
5 Na ikawa kwamba katika siku ya nne, walipoamka asubuhi na mapema kama kawaida, akasimama ili kwenda, lakini baba ya yule mwanamke kijana akamwambia mwana-mkwe wake: “Lisha moyo wako kipande cha mkate,+ kisha baadaye mwende zenu.”